Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #6,621
Zinazima baada ya hapo? Kama zinazima hiyo ni kawaida! Zinazobaki zikiwaka hilo ni tatizoWew jamaa nisaidie Gari yangu nikiwash system right zote zinawak kasoro taa ya check engine tatzo nn au n kawaida
Gar ni premio x -2005