Mada maalum ya ndege toka FB

C-17 Globamaster III kutoka Qatar ikiwa Kilimanjaro.
 
C-17 Globamaster III kutoka Qatar ikiwa Kilimanjaro.
 
The Hybrid Air Vehicles Airlander 10, initially known as the HAV 304, is a hybrid airship crafted by the British company Hybrid Air Vehicles (HAV). This unique aircraft features a helium airship structure along with supplementary wing and tail components. It utilizes a combination of aerostatic and aerodynamic lift principles for flight and is driven by four ducted propellers powered by diesel engines.
 
"MAWAZO YA ADMIN"

Ifike kipindi kusadikika kuwe na taasisi yenye nguvu itayoshughulikia utafiti na uundaji wa vyombo vya usafiri wa anga, Reli, Baharini na Barabarani.

Lazima tujiondoe kundi la watu wa kungoja na kupoteza vipaji na Taaluma zinaoishia kwenye makaratasi.
Taasisi iwe inashirikisha wataalamu mbalimbali wa kujitolea kutoka kwenye sekta husika, iwe serikalini au binafsi, ndani na nje ya nchi.

Binafsi, nategemea kuandika na kusajili Taasisi binafsi 'NGO' itakayohusika na masuala hayo.
Sitojali kama itaendelezwa au la.

Nitaibatiza kwa jina la,
"Bonde la Tanzanite"

Admin.

Picha:
Gabriel Ngeritu/X
 
Siku kama ya leo katika usafiri wa anga, Antonov An-22, iliyoundwa na Antonov Design Bureau ilikuwa ndiyo ndege kubwa zaidi wakati huo, ilifanya safari yake ya kwanza mnamo Februari 27, 1965.

Ikiwa kama ndege kubwa zaidi duniani inayotumia Mapangaboi 'turboprop' ilijivunia uwezo wa ajabu wa kupakia shehena na utendajikazi ikiendeshwa na injini nne za Kuznetsov NK-12.

Safari hii ya ndege ya kwanza iliashiria mwanzo wa kazi yake mashuhuri katika usafiri wa kijeshi, misaada ya kibinadamu, na usafirishaji wa mizigo mizito.

Admin.

[emoji991]
Pinterest
 
𝗪𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝘀𝗵𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗕𝗼𝗲𝗶𝗻𝗴 787 𝗗𝗿𝗲𝗮𝗺𝗹𝗶𝗻𝗲𝗿 𝗯𝗮𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮 2024.

1. Ethiopian Airlines linaendesha ndege Ishirini na Tisa za Boeing 787 Dreamliners. (19 B787-8s & 10 B787-9s)

2. Kenya Airways inaendesha ndege Tisa za Boeing 787-8 Dreamliners.

3. Royal Air Maroc inaendesha Ndege Tisa za B787 (5 B787-8s & 4 B787-9s.)

4. Egyptair inaendesha ndege Saba za Boeing 787-9 Dreamliners.

5. Air Tanzania inaendesha ndege Mbili za Boeing 787-8 Dreamliners.

AvMedTz
 
Nadhani kwa Rubani kupinda bawa la ndege kiasi hiki, ni kama kujaribu kushusha ile mikono ya kwenye kony@gi [emoji1]
 
Sijaona sehemu inayoonsha kuwa ndege inaweza kurudi nyuma zaidi ya kuonesha mzunguruko wa injini ndio hubadilika.
 
Katika filamu ya The Usual Suspect, Inaonekana Boeing 747 (injini nne) ikitua.
Wakati inaonyeshwa kwa nyuma, ikaonekana Boeing 767 (Injini Mbili) ikutua.
 
By diesel engine!!
 
'Order' za wateja kutoka Boeing Field.
 
Chuma imechochora, nadhani mtu aliyeguswa zaidi na hili tukio unaweza kumtambua kirahisi sana pichani.
 
Kuna ndege nyingi chini ya maji kuliko nyambizi angani
 
Ndege zagongana Kenya

Takriban watu wawili wamepoteza maisha baada ya ndege mbili kugongana katika Hifadhi ya Kitaifa ya Nairobi.

Takriban wengine 44 walitoka bila majeraha katika tukio hilo leo asubuhi.
Tukio hilo lilihusisha ndege aina ya Dash 8 yenye Usajili namba 5Y-SLK mali ya Safari Link iliyokuwa ikielekea Diani ikiwa na abiria 44 na pamoja na ndege ya Cessna.

Chanzo:
 
Ndege zagongana Kenya

Takriban watu wawili wamepoteza maisha baada ya ndege mbili kugongana katika Hifadhi ya Kitaifa ya Nairobi.

Takriban wengine 44 walitoka bila majeraha katika tukio hilo leo asubuhi.
Tukio hilo lilihusisha ndege aina ya Dash 8 yenye Usajili namba 5Y-SLK mali ya Safari Link iliyokuwa ikielekea Diani ikiwa na abiria 44 na pamoja na ndege ya Cessna.

Chanzo:
View attachment 2925188View attachment 2925189
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…