Kesho 11 asubuhi namkaaa [emoji23] [emoji23] nakwenda ikwiriri chapHongera ila chunga wenge la kesho [emoji42][emoji42][emoji42]
Balaaa a la wachangiaji kodi hapaHongera ila chunga wenge la kesho [emoji42][emoji42][emoji42]
Shari nilikua nakustua tu. Maana kwenye wenge la tungi namba huwa zinapiga sarakasi 9 unaisoma 6 na 6 inakua 9 [emoji23][emoji23][emoji23]Kesho 11 asubuhi namkaaa [emoji23] [emoji23] nakwenda ikwiriri chap
Ova
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23]Shari nilikua nakustua tu. Maana kwenye wenge la tungi namba huwa zinapiga sarakasi 9 unaisoma 6 na 6 inakua 9 [emoji23][emoji23][emoji23]
Me mkuu Niko morogoro malinyi ukuu hapa ndo kwanza naendeleza dude hd saa sita hv ndo nikalaleeNawaona tu T. R. A walivyokaa na calculator wanavyobofya vitufe kujumlisha mahesabu kwenye uzi wa bro Mshana jr [emoji851][emoji851]
Akieka bangi itakata![emoji849][emoji849]
[emoji849]weka bangi kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muulize kama hapendi mshahara***** sasa mwela anisogelee kutaka kunipima alcohol aone..View attachment 870478