Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kesho 11 asubuhi namkaaa [emoji23] [emoji23] nakwenda ikwiriri chap

Ova
Shari nilikua nakustua tu. Maana kwenye wenge la tungi namba huwa zinapiga sarakasi 9 unaisoma 6 na 6 inakua 9 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawaona tu T. R. A walivyokaa na calculator wanavyobofya vitufe kujumlisha mahesabu kwenye uzi wa bro Mshana jr [emoji851][emoji851]
Me mkuu Niko morogoro malinyi ukuu hapa ndo kwanza naendeleza dude hd saa sita hv ndo nikalalee
 
Mi ndio Chalii yangu wangu wa toyo kanileta nyumbani kwangu geti nimefunga nilale sasa sitaki Shida
 
Nawaona tu T. R. A walivyokaa na calculator wanavyobofya vitufe kujumlisha mahesabu kwenye uzi wa bro Mshana jr [emoji851][emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi ndio Chalii yangu wangu wa toyo kanileta nyumbani kwangu geti nimefunga nilale sasa sitaki Shida
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…