ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Ha ha ha , fedha zetu na Kodi tunalipa lakn tunataabika, ki ukweli Makonda angalie katazo lake hili au walegeze maana limekaa kiuchumi wa kilimo badala ya viwanda[emoji16]Inabidi bia nizungushie mfuko wa rambo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Utafikiri unakunywa bia za magendo aiseHa ha ha , fedha zetu na Kodi tunalipa lakn tunataabika, ki ukweli Makonda angalie katazo lake hili au walegeze maana limekaa kiuchumi wa kilimo badala ya viwanda[emoji16]
Kuna wakati bia zinanoga mida ya saa sita usiku , unaona mlinzi anakufungia geti ili wale jamaa wasikudake.Utafikiri unakunywa bia za magendo aise
Ova
Hii sheria miyayusho sanaKuna wakati bia zinanoga mida ya saa sita usiku , unaona mlinzi anakufungia geti ili wale jamaa wasikudake.
Oh yeah...anaitwa Anifa😆Barmaid gani huyu ana hati nzuri kiasi hiki? Nimempenda bure [emoji39][emoji39][emoji39]
Wanajua kabisa tunataka uchumi wa viwanda ambao masaa 24 ila kubadilisha sheria zao zilizokuwa zinakumbatia kilimo kwa muda huo.Maana kilimo kinaanza alfajiri kwahyo lazma uzuie watu wasinywe pombe hiyo asubuhi na kuzuia wasipitilize muda wa saa 5 usiku wakachelewa shambaniHii sheria miyayusho sana
Ova
Wengine waanaingia mzigoni jioniWanajua kabisa tunataka uchumi wa viwanda ambao masaa 24 ila kubadilisha sheria zao zilizokuwa zinakumbatia kilimo kwa muda huo.Maana kilimo kinaanza alfajiri kwahyo lazma uzuie watu wasinywe pombe hiyo asubuhi na kuzuia wasipitilize muda wa saa 5 usiku wakachelewa shambani
Chaliii yangu ya ara kishumundu na hata kule kibohoroni hii ndo kifungua kinywa aisee no mswaki
Kuna ule uzi wa wanakwaya waliouana gesti[emoji23]Tusiokunywa tunacomment wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii kitu uki mix na nyagi balaaChaliii yangu ya ara kishumundu na hata kule kibohoroni hii ndo kifungua kinywa aisee no mswakiView attachment 863938