Huo msosi na hizo konyagi haviendani..tafuta msosi heavyLunch ya kibabe
Huo msosi na hizo konyagi haviendani..tafuta mepiga funda kadhaa tu kustua nyongo mkuu , hapa naandaa choma choma flani nzito
Nimepiga funda kadhaa tu kustua nyongo mkuu hapa naandaa choma chomaHuo msosi na hizo konyagi haviendani..tafuta msosi heavy
OoiiiAliyekuwepo runzewe zero zero aje tupige maji
Ndo wapi huko mze..Aliyekuwepo runzewe zero zero aje tupige maji
🤣🤣🤣 Hamna hasara kubwa kama kumwaga pombeKuna club niliwazingua juzi kati yan ukiagiza vant na glass wanakuletea makopo yale wanaita red cups(huwa siyakubali),ukilewa ukishika vibaya linabonyea unaweza mwaga pombe...niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia
niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣Kuna club niliwazingua juzi kati yan ukiagiza vant na glass wanakuletea makopo yale wanaita red cups(huwa siyakubali),ukilewa ukishika vibaya linabonyea unaweza mwaga pombe...niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia