Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Saivi raha sn yani tinywe tilewe tiwapigie geshi ra polisi waturudishe nyumbani😂😂😂
 
IMG-20241225-WA0050.jpg
 
Kuna club niliwazingua juzi kati yan ukiagiza vant na glass wanakuletea makopo yale wanaita red cups(huwa siyakubali),ukilewa ukishika vibaya linabonyea unaweza mwaga pombe...niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia
 
Kuna nguvu iko nyuma yake usimlaumu..amekumbwa na pepo mbaya muombee sana mdogo wako..anatumika kama huamini angalia..iko nguvu iliyozidi uwezo wetu wanadamu MUNGU aturehemu
 
Kuna club niliwazingua juzi kati yan ukiagiza vant na glass wanakuletea makopo yale wanaita red cups(huwa siyakubali),ukilewa ukishika vibaya linabonyea unaweza mwaga pombe...niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia
🤣🤣🤣 Hamna hasara kubwa kama kumwaga pombe
 
Kuna club niliwazingua juzi kati yan ukiagiza vant na glass wanakuletea makopo yale wanaita red cups(huwa siyakubali),ukilewa ukishika vibaya linabonyea unaweza mwaga pombe...niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia
niliwazingua kichizi leo wameleta glass kweli zile za bia💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom