Jibapa mwenyekiti nisamee utaniua banaLimeshaisha hilo atapigwa fine ya jibapa na roast kavu kilo moja [emoji23]
Uyo mshikaji anae angalia churaa Kama namjuwa
InawezekanaUyo mshikaji anae angalia churaa Kama namjuwa
Ndio. Mbele za watu namna hiyo si kila mtu anawezaKuthaminisha ni ujasiri pia..?
Naendeleza na kasichanaMi nimeona mbaliki katibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa wana kiu [emoji23] [emoji23] [emoji23] balaa[emoji23][emoji23][emoji23]huyo jamaa mwenye ndala ana makanyagio marefu kuliko yeye[emoji23][emoji23]
🤔[emoji23][emoji23][emoji23]sifa ya utumbo sio mfupa bali ni harufu... Ile ya ndogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Daah niko zangu sehem nakula vyombo... sasa nimeagiza mchemsho wa utumbo nashangaaa nakutana na mifupa.... hivi utumbo una mifupa wakuu ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daah niko zangu sehem nakula vyombo... sasa nimeagiza mchemsho wa utumbo nashangaaa nakutana na mifupa.... hivi utumbo una mifupa wakuu ?
Hawa lazma niwaletee mtiti aisee... wanaketa masihara kabisa sijui wanajua nimelewa.... yan utumbo n mifupa wapi na wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Washtaki hao kwa Mshana Jr
Wasijeona Ona uko bwax
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa lazma niwaletee mtiti aisee... wanaketa masihara kabisa sijui wanajua nimelewa.... yan utumbo n mifupa wapi na wapi
Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayariHawa lazma niwaletee mtiti aisee... wanaketa masihara kabisa sijui wanajua nimelewa.... yan utumbo n mifupa wapi na wapi
Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayari
Nlipiga bia 3 dezo ktk bia 5 anasema mbili tu na Daiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ngekewa hiyo mzee.... ndo maana princippe ya biashara hutakiwi kuwa mteja wa bidhaa yako... sasa mhidumu akilewa hiyo ni neeema kwetu wazee wa gambe
Ova