Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mi nimeona mbaliki katibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Naendeleza na kasichana

Ova
20180923_203531.jpg
 
Daah niko zangu sehem nakula vyombo... sasa nimeagiza mchemsho wa utumbo nashangaaa nakutana na mifupa.... hivi utumbo una mifupa wakuu ?
🤔[emoji23][emoji23][emoji23]sifa ya utumbo sio mfupa bali ni harufu... Ile ya ndogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hawa lazma niwaletee mtiti aisee... wanaketa masihara kabisa sijui wanajua nimelewa.... yan utumbo n mifupa wapi na wapi
Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayari
Nlipiga bia 3 dezo ktk bia 5 anasema mbili tu na Daiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayari
Nlipiga bia 3 dezo ktk bia 5 anasema mbili tu na Daiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ngekewa hiyo mzee.... ndo maana princippe ya biashara hutakiwi kuwa mteja wa bidhaa yako... sasa mhidumu akilewa hiyo ni neeema kwetu wazee wa gambe
Ova
 
Back
Top Bottom