Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sema kuna mechi za ugenini jirani.. So I'll see. Lakini yataisha salama.
I'll be safe ...worry not.
Asee wazee mi nshatoa loku nataka kupendezesha Uzi na picha ila chrome inazingua!!
Ngoja ni download jf appNtumie PM nzirushe..nitaku cc
Hii kitu huwa inawapa nyege "Ke" sana, sasa sijui wewe utakufanya nini [emoji851]Nimehangaika muda mrefu sana kutafuta kitu tofauti cha kuchanganyia konyagi...nimejikuta hii inakua poa kweli...View attachment 878765
Kweli...
Uko wapi!?
😂😂😂😂😂😂
Mmmhaiseee ikija lipuka hii...sasa raha ya hizo cocktail muwe couple😉
Mmmh
Hapo ndio huwa napapendaga mm sasamkesha utahusu
Cheza na kitoko MkuuWazee, nimeshuka kiuchumi mpaka mwezi ujao.
Naomba wale wataalam wa kuhakikisha uchumi sio kikwazo cha kuzuia kistuli, watoe 'diet plan' ya bei nafuu kwa ajili hata ya kutafutia usingizi katika kipindi hiki kifupi.
Natanguliza shukran.
Shukran sana nduguCheza na kitoko Mkuu
Pamoja Mkuu, kwa mangi vimejaaShukran sana ndugu
bwana we!Hapo ndio huwa napapendaga mm sasa
Hahaha hii jamaa mmoja alikuwa anaweka ile ya ngwasuma samaki anavipande vingaapiii...viitatuuu...ile nyimbo niliijua bila shuruti!Hahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
Hahaha hii jamaa mmoja alikuwa anaweka ile ya ngwasuma samaki anavipande vingaapiii...viitatuuu...ile nyimbo niliijua bila shuruti!