Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kaka Mshana bwn, najua ipo siku nitaiacha tena soon make maneno ya mom yalikuwa more than bitter na yaliingia kwa moyo kabisa.
Ila vyuma kukaza imeleta taabu sana kwani ukipiga lifaru joni limoja,mtu aliekunywa castle creti 2 hakuoni bro
Gharama kidogo,stimu la kufa mtu but ze bierre za 50000 bado hata mzuka nduuuu! !!!
 
Hivi kweli tukiamua walevi wote tukagoma kunywa walwa nchi nzima tukiwa na sababu kuu mbili
1/Kupanda kwa bei za pombe holela wakati sisi ndo wachangia kipato cha taifa zaidi
2/Kupangiwa muda wa kunywa pombe wakati pesa ni za kwetu tunazitafuta kwa shida na kwa jasho sana.
Pia hizo kazi tumezitafuta wenyewe bila msaada wa selikali
Wengine tumejiajiri kwa kazi za ajabu iweje unipangie muda kuburudika?
Mbona familia zetu zikiumwa serikali haiwatibishi view
HIMAHIMA TUANDAMANE JAMANI AU TUTAPIGWA VIRUNGU
WALEVI TUJENGE UKUTA
 
Lazima tupate suluhisho kwa kweli sisi wanywaji wachangia kodi tunachofanyiwa siyo kabisa si haki

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuandamana ngumu sana.. Mazungumzo na maandalizi huanza vema kabisa... Koo zinapokauka wahudhuriaji hutaka kupoza makoo... Tatizo huanzia hapo.. Safari moja huanzisha nyingine [emoji23][emoji23][emoji23]mwishowe kikao kinaaharishwa na watu kuendelea kutoa lock... Mlevi hapendi stress ati
 
HahahahahahA,ikishindikana la kuandama kwa ajili ya bei watuache tuchome pesa zetu ila wasitupangie muda jamani,waache asili ijibadilishe yenyewe
Mf:mtu akiona pesa yake inaishia huko na maendeleo yanagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe tu
- ukiona afya inagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe
-ukiona ukinywa vurugu ni wewe na sero ni kwako plus virungu kila siku automatically utaacha au utapunguza.
Let the nature takes it's place
WATUACHE,Wacheze na waajiriwa wao tu
angalau sisi sector binafsi watuache tule walwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…