Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilimroga [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vinywaji vya ku.tia nyege mkuu...madem wakigonga hiyo kitu k lazima ichekeAbout last night #BukobaView attachment 879125
Haicheki inazomea[emoji14][emoji14][emoji14][emoji12][emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]inamzomea asumani kichwa wazi[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi vinywaji vya ku.tia nyege mkuu...madem wakigonga hiyo kitu k lazima icheke
Yeah noma sana...Haicheki inazomea[emoji14][emoji14][emoji14][emoji12][emoji12][emoji13][emoji13][emoji13]inamzomea asumani kichwa wazi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo unarudi kwenye msafara wa mbinguni?.Leo ndio nimemaliza siku zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji115]
Poa poa mwenyekiti, pamoja tuijenge nchi.No surrender mzee baba mbele kwa mbere iyo.. Taifa linahitaji mapato
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kweli mkuu maana sisi ndio watu pekee ambao hatuna shida dunianiTujipongeze walipa kodi ,juhudi zetu zinazidi kuzaa matunda, Leo Uzinduzi wa Tazara Flyover
Kaka Mshana bwn, najua ipo siku nitaiacha tena soon make maneno ya mom yalikuwa more than bitter na yaliingia kwa moyo kabisa.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila seriously dry hard drinks can damage your kidneys n liver... Yani siku unaenda mbinguni viungo vyote vya ndani vimeiva utafikiri supu ya mapupu kwa shirima..
After all mbinguni hatupeleki viungo vizima kwahiyo sio mbaya sana[emoji23][emoji115]
Lazima tupate suluhisho kwa kweli sisi wanywaji wachangia kodi tunachofanyiwa siyo kabisa si hakiHivi kweli tukiamua walevi wote tukagoma kunywa walwa nchi nzima tukiwa na sababu kuu mbili
1/Kupanda kwa bei za pombe holela wakati sisi ndo wachangia kipato cha taifa zaidi
2/Kupangiwa muda wa kunywa pombe wakati pesa ni za kwetu tunazitafuta kwa shida na kwa jasho sana.
Pia hizo kazi tumezitafuta wenyewe bila msaada wa selikali
Wengine tumejiajiri kwa kazi za ajabu iweje unipangie muda kuburudika?
Mbona familia zetu zikiumwa serikali haiwatibishi view
HIMAHIMA TUANDAMANE JAMANI AU TUTAPIGWA VIRUNGU
WALEVI TUJENGE UKUTA
Sijui nlianzishe nmepita toroka uje kimara korogwe ila mbn bar imechoka siku hzi [emoji23]Tujipongeze walipa kodi ,juhudi zetu zinazidi kuzaa matunda, Leo Uzinduzi wa Tazara Flyover
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuandamana ngumu sana.. Mazungumzo na maandalizi huanza vema kabisa... Koo zinapokauka wahudhuriaji hutaka kupoza makoo... Tatizo huanzia hapo.. Safari moja huanzisha nyingine [emoji23][emoji23][emoji23]mwishowe kikao kinaaharishwa na watu kuendelea kutoa lock... Mlevi hapendi stress atiHivi kweli tukiamua walevi wote tukagoma kunywa walwa nchi nzima tukiwa na sababu kuu mbili
1/Kupanda kwa bei za pombe holela wakati sisi ndo wachangia kipato cha taifa zaidi
2/Kupangiwa muda wa kunywa pombe wakati pesa ni za kwetu tunazitafuta kwa shida na kwa jasho sana.
Pia hizo kazi tumezitafuta wenyewe bila msaada wa selikali
Wengine tumejiajiri kwa kazi za ajabu iweje unipangie muda kuburudika?
Mbona familia zetu zikiumwa serikali haiwatibishi view
HIMAHIMA TUANDAMANE JAMANI AU TUTAPIGWA VIRUNGU
WALEVI TUJENGE UKUTA
HahahahahahA,ikishindikana la kuandama kwa ajili ya bei watuache tuchome pesa zetu ila wasitupangie muda jamani,waache asili ijibadilishe yenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuandamana ngumu sana.. Mazungumzo na maandalizi huanza vema kabisa... Koo zinapokauka wahudhuriaji hutaka kupoza makoo... Tatizo huanzia hapo.. Safari moja huanzisha nyingine [emoji23][emoji23][emoji23]mwishowe kikao kinaaharishwa na watu kuendelea kutoa lock... Mlevi hapendi stress ati