Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababe
Siku zote muoga ndio utamsikia akisema nitakupiga mpaka wakusahau, mfuate sasa uone.
 
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
 

Attachments

  • WIN_20180927_18_03_09_Pro.jpg
    13.1 KB · Views: 20
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngj tutalifanyia kazi

Ova
 
Yeah let the nature decides... Utanipangiaje matumizi na pesa yangu mwenyewe? [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…