Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Wabheja thana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
halafu naomba kujua hivi bia za Ndovu zimeishia wapi jameni??
Walevi wale walikufwa wote[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Walevi wale walikufwa wote[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
😂😂😂dah aisee!
kati ya local beers nilizo zikubali ni hii.
 
Kweli pombe siyo Chai, yaani jamaa akamgeuka mwenzie. Hope wife hakutilia maanani alijua jamaa kalewa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…