Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Swali kwenu walipa kodi, hivi ni kweli pombe na msuba haviendani?. Maana utakuta mtu wa njiti hagusi glasi na wa glasi hagusi njiti ni kwanini? Au ndio mgawanyo wa madaraka ?[emoji23][emoji23]
Sumu haichanganywi na sumu.... Mwanaume halali na mwanaume mwenzake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtani nipo ndugu yangu nalima Mapapai huku kiluvya yaani sina muda kabisa wa kushika simu....ila mada zako huwa nazifwatilia kwa mbaliii nabaki kucheka tu
Kiluvya? Sehemu gani.....!? Tukutane aisee...
 
Mshana tafuta Uzi humu umeandikwa "Nauza Miche ya Papai Mbegu fupi"

Back to mada Leo utaangalia mechi wapi yanga akigongwa?
 
Mshana tafuta Uzi humu umeandikwa "Nauza Miche ya Papai Mbegu fupi"

Back to mada Leo utaangalia mechi wapi yanga akigongwa?
Bado nipo nipo tuu... Niko kwa Mathias backyard bar hapa najidungua na pure drinking H2O... Ngoja nione uwezekano wa kusogea huko
 
Leo naenda kugonga kitimoto ya kuchoma kwa Mrema hapo Luguruni ....na safari fupi fupi ...njoo pm nikutandike ofa huku tukichek yanga akichezea magoli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna chimbo moja kama unakunja kwenda mloganzila bar moja Tamu ina garden fulani
Vp bado ipo

Ova
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna chimbo moja kama unakunja kwenda mloganzila bar moja Tamu ina garden fulani
Vp bado ipo

Ova
Wakati naenda kwa Mrema nitapitia kwanza hayo maeneo kukagua...nakunywa hapo safari 2 ndogo kisha nikale kiti moto ya kuchoma kwa Mrema ..
 
Wakati naenda kwa Mrema nitapitia kwanza hayo maeneo kukagua...nakunywa hapo safari 2 ndogo kisha nikale kiti moto ya kuchoma kwa Mrema ..
Safi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…