Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #3,861
Sumu haichanganywi na sumu.... Mwanaume halali na mwanaume mwenzake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swali kwenu walipa kodi, hivi ni kweli pombe na msuba haviendani?. Maana utakuta mtu wa njiti hagusi glasi na wa glasi hagusi njiti ni kwanini? Au ndio mgawanyo wa madaraka ?[emoji23][emoji23]