Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Utafanya la maana sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itabidi siku moja nkutumie kwenye taqwa upokee hko
Ova
Poa[emoji23] mbege si pombe nayoNauliza kama ni ruhusa kuweka picha hapa nikinywa mbege ?ila weekend kama utanikubalia maana Mimi kulewa ni jpili tu
Mwenyekiti wapi hyoKatibu nasikitika sana nilikuwa kwenye himaya yako leo asubuhi ila nikakukosa[emoji30][emoji30][emoji30]View attachment 883375
Huwa nashangaa watu wasemapo eti acha BYERE ili ujenge, huwa siwaelewi kabisa yaan!!Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Naona Katibu unaliendeleza libeneke Kama kawaPoa[emoji23] mbege si pombe nayo
Ova
Mdg mdg [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona Katibu unaliendeleza libeneke Kama kawa
Mimi nimetaitika kidogo, nadhani libeneke nitaliendeleza keshoMdg mdg [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Poa poaMimi nimetaitika kidogo, nadhani libeneke nitaliendeleza kesho
Pamoja katibuPoa poa
Ova
Rudi usafiri tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeagiza safari baridi... imeletwa napiga funda ladha tofauti... kuinua chupa nakuta chapa serengeti af sijawahi kunywa hii kitu... vp wakuu niendelee na serengeti au nirudi safarini maana sinaga desturi ya kuchanganya bia
Pamoja sana katibu... muhudumu anazingua huyu mambo ya kupelekana mbugani na giza hiliRudi usafiri tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Ahh mm ni singe lip a ningemdindia[emoji23] [emoji23]Pamoja sana katibu... muhudumu anazingua huyu mambo ya kupelekana mbugani na giza hili
Ha ha nimeona nimemkaushie mtt mdogo huyu...angekua kakomaa kingeeleweka mbonarAhh mm ni singe lip a ningemdindia[emoji23] [emoji23]
Ova
We zembe sana wakati mwingine [emoji23] [emoji23]Ha ha nimeona nimemkaushie mtt mdogo huyu...angekua kakomaa kingeeleweka mbonar
Pamoja katibu ngoja nipige vyombo sasa kisha nipange mikakati ya keshoWe zembe sana wakati mwingine [emoji23] [emoji23]
Ova