Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Huyo Mzee nasikia siku hizi kahamia Kimara , nyumba yake ya Togo aliiuza
Nimehamaa huku kopakabana

Ova

20181002_213424.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nko na mchzi wangu mmoja yko muhimbiili mwana miaka Mia jana kwenye tungi Alisa haukuwa sim sim yke kwenye bajaji
Alikuwa ana tokea masai kurudi home
Anatuambiaa alifata bajaji alfajiri kavaa boxer [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila alipata sim lkn

Ova
 
Nko na mchzi wangu mmoja yko muhimbiili mwana miaka Mia jana kwenye tungi Alisa haukuwa sim sim yke kwenye bajaji
Alikuwa ana tokea masai kurudi home
Anatuambiaa alifata bajaji alfajiri kavaa boxer [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila alipata sim lkn

Ova
Raha ya Bajaj uchukue kwenye kituo kinachojulikana
 
Duh kumekucha......naingia mkoa mji
Kasoro bahari one time!

Ova
 
Hivi wanywa bia mniambie huwa mnapata raha gani? Nikinywa nusu bia navimba tumbo halafu nahitaji kwenda wash room kila baada ya dk. 30. Mimi natumia wine tu. White ila naweza kutumia gin ninapokuwa na kwenye group na punch. Niambie wenzangu mnaipenda bia kwa kunenepesha au?
 
Back
Top Bottom