Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Eti ni kweli?
IMG-20181003-WA0006.jpeg
 
Yaani nimetoroka kuja kutoa loku wewe unatuonyesha katazo?.
Waambie wasituzoee kabisa.
Mm mwenyewe asubuhi nimepiga safari ndg moja
Kwanza hao wanaosema leo siyo siku ya kulewa wasituingilie starehe yetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leo badaye ni bampa to bampa

Ova
 
Hiyo haiwezekani wanywaji/walipa kodi sisi lazima daily tulewe hata kukopa tutakopa!

Ova
Wasivyo naakili wanasapoti ujinga wakikosa kodi waanze kwenda kukopa China wazidishe deni la taifa.
Hapa penyewe natoa loku nikaendelee kukusanya mkwanja.
 
Wasivyo naakili wanasapoti ujinga wakikosa kodi waanze kwenda kukopa China wazidishe deni la taifa.
Hapa penyewe natoa loku nikaendelee kukusanya mkwanja.
Sisi leo bdy kazi kama Kawa tunawachangia kodi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena Inabidi tuwe na siku yetu ya kusherekea kulewa duniani!

Ova
 
Tena inabidi marufuku ya muda iondolewe mtu achangie kodi muda wowote
Kweli Inabidi sisi wanywaji walipa kodi tuitishe maandamano...ngj niwasiliane na mwenyekiti.....
Tuna mipango pia tuunde Chama chetu ikiwezekana 2020 tuingie kwenye mchuano wa urais[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Najua tukikosa bungeni tutaingia[emoji23] [emoji23]

Ova
 
Nko msamvu kwa mgosi kituo cha kwenda dodoma kanipiga safari 3 fasta
Ndy najianda rudi dar [emoji23] [emoji23] nyingine naweka kwenye chupa ya maji masafi
Ila nafikiria kojo njiani sijui itakuwaje?[emoji102]

Ova
Bia ktk chupa ya maji inapoteza ladha, hy ya kuchimba choo mkuu kazi kwako
 
Back
Top Bottom