Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Tatizo ndio hilo, muda mwingine unakuta uani wametulia si walikuwa wagogo wauza kahawa wale
Wapumbavu walijua mm brazamen kumbe Kino ndy sisi Hadi jamaa wa Gereji ple kwa siriyako walikuja wanasema mzee vp mbn unazinguliwa wanataka washulika
Uzuri Kino full ulinzi

Ova
 
Bwanaaa Balaaaaaa nishapataga msala yule dj msomali ideed akaniokoa nilienda toi dem
Wakati anatoka jamaa yake akaja akahisi namtongoza kumbe mm sina lile wala wale
Ahh wakatkanianzishia mtiti mm kila nkiwa please bado jamaa wakali maana walikuwa wamelewa
Ehh ilikuja tag kunifata wanasema nn maana sisi wengine kinondoni yote tuko poa
Jamaa wale waka snda
Ila ideed alkufaga unajua yule aliyekuwa anapiga mzikihapa
Pombe wakati mwingine tunakutana na visanga[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Mkuu hii mbn kama naikumbuka, Demu mwenyewe alikua na mkundu mkubwa hivi kafupi flani au
 
Mimi napenda kukaa pembeni kwenye viti virefu niangalie warembo wa kota wanavyopita
Aika mzee baba

Ova

20181003_222626.jpg
 
Back
Top Bottom