mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nmeweka nyagi kimtindo siti ya nyuma taratibu nakamua [emoji23] [emoji23] ushauri wa kutoka kwa mgosiBia ktk chupa ya maji inapoteza ladha, hy ya kuchimba choo mkuu kazi kwako
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeweka nyagi kimtindo siti ya nyuma taratibu nakamua [emoji23] [emoji23] ushauri wa kutoka kwa mgosiBia ktk chupa ya maji inapoteza ladha, hy ya kuchimba choo mkuu kazi kwako
Siku nyingine km una safari ndefu ya bus piga nyagi tu ,achana na bia ,bia km una self driveNmeweka nyagi kimtindo siti ya nyuma taratibu nakamua [emoji23] [emoji23] ushauri wa kutoka kwa mgosi
Ova
Maandalizi ya safari[emoji23] [emoji23] kurudi darSiku nyingine km una safari ndefu ya bus piga nyagi tu ,achana na bia ,bia km una self drive
Maandalizi ya safariSiku nyingine km una safari ndefu ya bus piga nyagi tu ,achana na bia ,bia km una self drive
Nko napanda abood kuna suka mmja bonge hvi mdau mwenzetu wa masanga....Siku nyingine km una safari ndefu ya bus piga nyagi tu ,achana na bia ,bia km una self drive
Wanywaji wachangia kodi bado hatuitambui siku ku hyo[emoji23] [emoji23] mbn mpk sasa wengine tushamoka!hii thread bado ipo leo si sikukuu
Kauli mbiu yenyewe inasisitiza kunywa kwa kiasihii thread bado ipo leo si sikukuu
Wanywaji wachangia kodi bado hatuitambui siku ku hyo[emoji23] [emoji23] mbn mpk sasa wengine tushamoka!
Hahaha mshana jr na ka shtukizwa sio
Ova
Tweeter nko nmeingia muda si mrefu kaunta kama Kawa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kauli mbiu yenyewe inasisitiza kunywa kwa kiasi
Hapo Katibu unashea choo na wapangaji wa humo ndaniTweeter nko nmeingia muda si mrefu kaunta kama Kawa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 885871
Hapo napakubali ngoma zake katibuKuna ma old school yanapigwa hapa si mchzo limetoka kupigwa goma la zhane hey Mr dj Dah balaaaa
Ova
Bwanaaa Balaaaaaa nishapataga msala yule dj msomali ideed akaniokoa nilienda toi demHapo Katibu unashea choo na wapangaji wa humo ndani
Angekuwepo msomali dj sasa marehemu balaaaHapo napakubali ngoma zake katibu
Uko wapi kama vp nkupe code ujeHapo napakubali ngoma zake katibu
Tatizo ndio hilo, muda mwingine unakuta uani wametulia si walikuwa wagogo wauza kahawa waleBwanaaa Balaaaaaa nishapataga msala yule dj msomali ideed akaniokoa nilienda toi dem
Wakati anatoka jamaa yake akaja akahisi namtongoza kumbe mm sina lile wala wale
Ahh wakatkanianzishia mtiti mm kila nkiwa please bado jamaa wakali maana walikuwa wamelewa
Ehh ilikuja tag kunifata wanasema nn maana sisi wengine kinondoni yote tuko poa
Jamaa wale waka snda
Ila ideed alkufaga unajua yule aliyekuwa anapiga mzikihapa
Pombe wakati mwingine tunakutana na visanga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova