onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 780
Mule nilionaga wapangaji na wauza uchi choo kichafu jinga sanaHapo Katibu unashea choo na wapangaji wa humo ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mule nilionaga wapangaji na wauza uchi choo kichafu jinga sanaHapo Katibu unashea choo na wapangaji wa humo ndani
Nastua nyagi nlale
Ah kawaida tu si unajua tenaMkuu sikuwezi kwa ulipaji huo, uaminifu uliotukuka.
Difenda si mngesema nao....[emoji23]Leo dambwe langu walipa kodi wenzangu naamini mnalipa kodi kimyakimya mida him, mie difenda limekuja hapa wametulazimisha tuingie club la sivyo makangarawe au chang'ombe ituhusu, na hii kibri ni vile hatujawahi kuwaonesha sisi walevi na wanywaji ni Nani nchi hii masimango yamezidi Mno[emoji4][emoji4][emoji4]
Hapo wametuachia tulewe hadi saa saba na bendi ila ilipofika wakasema tuzame club fastaDifenda si mngesema nao....[emoji23]
Duh ila ndy hivyo muda unabana
Ndomana mm napendaga kuleeawa nyumbani tu maana unakosana na mengi
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo wametuachia tulewe hadi saa saba na bendi ila ilipofika wakasema tuzame club fasta
Kiwanja chake babu nkoMimi nawaambia nimekaa kaunta ili nikope hapo na kaunta hapo anakuwa ameelewa
[emoji16][emoji16]Niko na @ ROBERT MICHAEL lkn naona leo hashushi vyombo anatoa tag tu
Ova
Leo naona unatusindikizaa tu [emoji23] [emoji23][emoji16][emoji16]
Siku moja moja lakn , wadau walikuwa wamenishtua ndio tulikuwa tunayajengaLeo naona unatusindikizaa tu [emoji23] [emoji23]
Ova
Pande za wapi?Niko na @ ROBERT MICHAEL lkn naona leo hashushi vyombo anatoa tag tu
Ova
Duh km naijua hii ,mtaa km unaenda TogoBabu bar Kino mdau
Ova