Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kaunta manager mdume leo
Kanizingua nkaona ahh ngoja nhame
Anachomekea nkaona nkizidi kaa ntamzngua a isije mzee mkufya akatupeleka selo[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nko na mchzi wangu mmoja yko muhimbiili mwana miaka Mia jana kwenye tungi Alisa haukuwa sim sim yke kwenye bajaji
Alikuwa ana tokea masai kurudi home
Anatuambiaa alifata bajaji alfajiri kavaa boxer [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila alipata sim lkn

Ova
 
Raha ya Bajaj uchukue kwenye kituo kinachojulikana
 
Duh kumekucha......naingia mkoa mji
Kasoro bahari one time!

Ova
 
Hivi wanywa bia mniambie huwa mnapata raha gani? Nikinywa nusu bia navimba tumbo halafu nahitaji kwenda wash room kila baada ya dk. 30. Mimi natumia wine tu. White ila naweza kutumia gin ninapokuwa na kwenye group na punch. Niambie wenzangu mnaipenda bia kwa kunenepesha au?
 
Ayaaaaaaaa kopakabana mtwara au maana ndo nimekesha hapo jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…