Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Me nikiwa DSM napenda sana Calabash Mpakani, jumamosi huwa nakaa kaunta kuanzia SAA 4 asubuhi hadi band inafunga saa 6. Matukio sijawahi kutana nayo, ila ajali zitokanazo na tungi zaidi ya Mara 3. Nikija DSM ntakucheki mkuu. Nawe karibu makao makuu uje unywe dompo kwa 9 kSema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhh
Mm bar nshakutana na mikasa kibao kama kauandika kitabu ingekuwa burudan maana kuna majanga na vituko....
Wengine sisi ni watu wa mikasa,utani
Sometime watata.....nlikutana na robert Michael alinielwa Sana
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mada tungepata uzoefu wa mlevi mzoefu ambaye kwa sasa ni mhe Mbunge wa Mara ya pili kwa vyama viwili ndani ya miaka mitano katika jimbo lile la uwanja wa Ndege mkubwa hapa nchini.
Yeye ana uzoefu wa kutopenda kusumbuka kwenda WC akishazibua kadhaa bali kushusha ndani kwa ndani.
Karibu sanaHaha nimeona Mkuu. Me nikiwa DSM Mara moja moja huwa najichanganya. Vizuri pia.
Katibu nakukubali sanaSema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhh
Mm bar nshakutana na mikasa kibao kama kauandika kitabu ingekuwa burudan maana kuna majanga na vituko....
Wengine sisi ni watu wa mikasa,utani
Sometime watata.....nlikutana na robert Michael alinielwa Sana
Ova
Nami nikija dar ntakucheki MkuuKaribu sana
Ila kama katibu nikija dom tutaonana
Ova
Mbona wote mnapita tu hakuna anayelike wala kucomment. wote wanafik kabisa. Nyinyi walevi siyo wanywaiji.Alc % [emoji16][emoji16]View attachment 885613
Utalewa kwa mengi
Mixer hatariWali Nazi View attachment 888881
Timing !tunakula kwa macho tuUtalewa kwa mengi
Hpa npo bwaxxxx mbyaa ila ni me fika home Salam aMixer hatari
Nikajua umeshazimaSafi.....
Ova
Hiyo bia gani?Usiku mwemaView attachment 888975
UshalewaNimefika ka bar flan hapa tabata nagonga hii bia sijui ya 10 ,inshu ni kuna muhudumu naanza kumuona mzuri .cjui nimtokee ama niende zangu home tuh
BingwaHiyo bia gani?