mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kumekucha mwenyekiti[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha mwenyekiti[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
Hizi juhudi mamlaka zinapaswa kuzitambuaKabla sijaingia kwa mzigo,natoa lockView attachment 891342
ExactlyHizi juhudi mamlaka zinapaswa kuzitambua
Hio saa ipo sawa kweli! Mshana Jr Mwenyekiti nakusalimu. Naomba kujua chimbo la Mikocheni Resort Centre ikoje imetulia au?Kabla sijaingia kwa mzigo,natoa lockView attachment 891342
Hio saa ipo sawa kweli!
Saa 10 na nusu.Hahahaha.....kwani inasema muda gan?
Itakua ndo muda we2 huku jijin chattle mkuu,usipate hofuSaa 10 na nusu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kabla sijaingia kwa mzigo,natoa lockView attachment 891342
Ngj nipige pegi 1 ndy niende kwenye pilika!Hizi juhudi mamlaka zinapaswa kuzitambua
Chimbo zuri liko nyuma ya shoppers plzaCC mrangi Katibu Mkuu wa chama cha kuzimua. Chimbo la MRC Mikocheni vipi?
Nashukuru Mh. Katibu. Kufanya ukaguzi wa vitanda tena kuna kunguni au?Chimbo zuri liko nyuma ya shoppers plza
Sehemu nzuri ya kujichimbia.....
Huko unaweza piga tungi hadi kufanya ukaguzi wa vitanda....
Yule jamaa aliyetumbuliwa na ana kesi mpk sahv ya N--- ndy mmiliki inasemekana
Ila sijatimba muda sjui kma Wana ubora kama wa zamani
Maana walikuwa na chakula Kizuri sana
Ova
Hili ndilo chimbo langu rasmi nikiwa dar, Nina room yangu kbs pale ,special kwa ajiri yangu ,pale huwa najiachia mbayaChimbo zuri liko nyuma ya shoppers plza
Sehemu nzuri ya kujichimbia.....
Huko unaweza piga tungi hadi kufanya ukaguzi wa vitanda....
Yule jamaa aliyetumbuliwa na ana kesi mpk sahv ya N--- ndy mmiliki inasemekana
Ila sijatimba muda sjui kma Wana ubora kama wa zamani
Maana walikuwa na chakula Kizuri sana
Ova
Mkuu hii ndio sehemu yangu huwa nafanya km ofc ndogo au tuseme ndio ikulu yangu ndogo ,mizigo yangu mingi naipark hapoCC mrangi Katibu Mkuu wa chama cha kuzimua. Chimbo la MRC Mikocheni vipi?
Hapa miti matatu korogwe tushaanza na 1977
Muhimu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nashukuru Mh. Katibu. Kufanya ukaguzi wa vitanda tena kuna kunguni au?
Mie nataka nije krismas ni injoi kidogo nibanduke zangu.Mkuu hii ndio sehemu yangu huwa nafanya km ofc ndogo au tuseme ndio ikulu yangu ndogo ,mizigo yangu mingi naipark hapo
Kuanzia mmliki hadi staff washikaji zangu
Duh pako Safi hakuna usumbfu pale nlikunywaga bia nyingi mpka manager yule mwenye tattoo akasema hyu mtu atatembea kweli wakashangaa nainuka mdg mdg hyooo baada ya wiki hvi nkarudiHili ndilo chimbo langu rasmi nikiwa dar, Nina room yangu kbs pale ,special kwa ajiri yangu ,pale huwa najiachia mbaya