Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kabla sijaingia kwa mzigo,natoa lock
IMG_20181009_081045.jpeg
 
CC mrangi Katibu Mkuu wa chama cha kuzimua. Chimbo la MRC Mikocheni vipi?
Chimbo zuri liko nyuma ya shoppers plza
Sehemu nzuri ya kujichimbia.....
Huko unaweza piga tungi hadi kufanya ukaguzi wa vitanda....
Yule jamaa aliyetumbuliwa na ana kesi mpk sahv ya N--- ndy mmiliki inasemekana
Ila sijatimba muda sjui kma Wana ubora kama wa zamani
Maana walikuwa na chakula Kizuri sana

Ova
 
Chimbo zuri liko nyuma ya shoppers plza
Sehemu nzuri ya kujichimbia.....
Huko unaweza piga tungi hadi kufanya ukaguzi wa vitanda....
Yule jamaa aliyetumbuliwa na ana kesi mpk sahv ya N--- ndy mmiliki inasemekana
Ila sijatimba muda sjui kma Wana ubora kama wa zamani
Maana walikuwa na chakula Kizuri sana

Ova
Nashukuru Mh. Katibu. Kufanya ukaguzi wa vitanda tena kuna kunguni au?
 
Chimbo zuri liko nyuma ya shoppers plza
Sehemu nzuri ya kujichimbia.....
Huko unaweza piga tungi hadi kufanya ukaguzi wa vitanda....
Yule jamaa aliyetumbuliwa na ana kesi mpk sahv ya N--- ndy mmiliki inasemekana
Ila sijatimba muda sjui kma Wana ubora kama wa zamani
Maana walikuwa na chakula Kizuri sana

Ova
Hili ndilo chimbo langu rasmi nikiwa dar, Nina room yangu kbs pale ,special kwa ajiri yangu ,pale huwa najiachia mbaya
 
CC mrangi Katibu Mkuu wa chama cha kuzimua. Chimbo la MRC Mikocheni vipi?
Mkuu hii ndio sehemu yangu huwa nafanya km ofc ndogo au tuseme ndio ikulu yangu ndogo ,mizigo yangu mingi naipark hapo

Kuanzia mmliki hadi staff washikaji zangu
 
Mkuu hii ndio sehemu yangu huwa nafanya km ofc ndogo au tuseme ndio ikulu yangu ndogo ,mizigo yangu mingi naipark hapo

Kuanzia mmliki hadi staff washikaji zangu
Mie nataka nije krismas ni injoi kidogo nibanduke zangu.
 
Hili ndilo chimbo langu rasmi nikiwa dar, Nina room yangu kbs pale ,special kwa ajiri yangu ,pale huwa najiachia mbaya
Duh pako Safi hakuna usumbfu pale nlikunywaga bia nyingi mpka manager yule mwenye tattoo akasema hyu mtu atatembea kweli wakashangaa nainuka mdg mdg hyooo baada ya wiki hvi nkarudi
Mnager akanipa ofa ya bia 3 akacheka sana
Sana

Ova
 
Back
Top Bottom