Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Piga vyupa....Watu kama nyie mpo, kama mazao na magugu shambani. Unalima, unapanda..lazma utapalilia. Mpo tu lazima yaani, kaa pembeni hulipi kodi kistaili yetu. Cc Mshana Jr Song il gok mrangi Mzigua90 mavado Papupi chaliifrancisco mtu chake Blaki Womani Equation x
Watu kama nyie mpo, kama mazao na magugu shambani. Unalima, unapanda..lazma utapalilia. Mpo tu lazima yaani, kaa pembeni hulipi kodi kistaili yetu. Cc Mshana Jr Song il gok mrangi Mzigua90 mavado Papupi chaliifrancisco mtu chake Blaki Womani Equation x
Unaweza kujikuta unamwita bamedi 'wife'kwa leo nilizokunywa zinanitosha-serengeti lite 9 nikiendelea kukaa kwenye hiki kiwanja naweza kuharibu ndoa
Ha ha ha ha kodi imepungua leoLeo nimejifungia ndani nameza dozi ya kifua...natumai weekend ijayo nitakuwa na vyonza vyombo
Dah pole Sana mdauWadau nasema niko kinyonge, mwanangu urio sijui kashalowekewa nguo zake zote na wife, kev nae anakula dawa za UTI knanipanga ivyo eti wife kapimwa ana UTI karudi na dozi mbili, maajabu hayataisha. Walipa kodi wawili leo wmetega naendeleza gurudumu. Ila kinyonge mno. Hpa nilipo njiA ya external jeshini tabata hukunji popote mpaka mwisho wa hii lami ndo nilipo.
Mwambie tamuuuuWatu kama nyie mpo, kama mazao na magugu shambani. Unalima, unapanda..lazma utapalilia. Mpo tu lazima yaani, kaa pembeni hulipi kodi kistaili yetu. Cc Mshana Jr Song il gok mrangi Mzigua90 mavado Papupi chaliifrancisco mtu chake Blaki Womani Equation x
Dah niko Msata kilingeni ningekuja bila kukosaKesho tukutane London pub wale wadau..ukionyesha mkono mmoja juu kila kikichezwa kinu mziki au wimbo mpya...nitaelekeza upewe chupa moja ya flavour yako...
Hizi ni ishara za kijeshi hakikisha hukosei....
Haya yote yatakuwa summit pub ipo juu kabisa London pub ubungo external...nitaongea na dj apige vitu vikali tupu. Tukutane hapo.
HahahahaaaaHaharizenu waheshimiwa walipa kodi iv.
Baada ya kutoka kanisani nimewasha efd kama hivi
Nimeingia kunywa supu kuona kaunta nikaamua kuanza kulipa kodi mapemaHaharizenu waheshimiwa walipa kodi iv.
Baada ya kutoka kanisani nimewasha efd kama hivi