Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

kwa leo nilizokunywa zinanitosha-serengeti lite 9 nikiendelea kukaa kwenye hiki kiwanja naweza kuharibu ndoa
 
Leo nimejifungia ndani nameza dozi ya kifua...natumai weekend ijayo nitakuwa na vyonza vyombo
 
Dah pole Sana mdau
 
Dah niko Msata kilingeni ningekuja bila kukosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…