Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nimekubali Sheria plisner king ya 5 Na kesho saa 10 niamke
1541187421108.jpeg
 
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Nimekubali pombe ni pendwa, watu wanatiririka series tu, watu wanakunywa tu, watu wanazimua na mm nimo. Leta King Robert kwa meza.
 
Duh hpa nko bwaxxxx mbaya natafuta nkapige 1 for the road nirude tena
Nie peni code wapi ntampata bia sahv saa kumi na moja hii

Ova
katibu mi dar siijui vizuri, ila nathani wadau wata kusaidia
 
katibu mi dar siijui vizuri, ila nathani wadau wata kusaidia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mk 1 ngj niende [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko chuga mjumbe

Ova
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mk 1 ngj niende [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko chuga mjumbe

Ova
katibu hii ya kujua geo location yangu ina nipa ukakasi kidogo
 
Back
Top Bottom