[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SadolMaringo ya mvinyo... Hivi kuna glasses [emoji481] [emoji485][emoji483][emoji482][emoji484]maalum za soda? Au ni zile kama za kupimia njegere? View attachment 865252
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Utaua mtuWith the booster of Congo Dust[emoji23]
[emoji41] Bia gani hii? Dah tutakuja kunywa na mikojo ya punda khaaaaNiwatakie mchana mwema View attachment 864948
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Ukishalewaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 865287
Mshana Jr itabidi utoe listi za bar zinazongoza kwa kuchomekea bili[emoji39][emoji39][emoji39][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Ha ha mkuu itakuwa shidaMshana Jr itabidi utoe listi za bar zinazongoza kwa kuchomekea bili
Ova
Maana vyombo vikishatupanda wanachomekeaHa ha mkuu itakuwa shida
B bar sinza Mori ,samaki samaki ya mcity,miti mitatu kimara korogwe, kisuma Na zamani kabla haijafa catalunyaMshana Jr itabidi utoe listi za bar zinazongoza kwa kuchomekea bili
Ova
Daah kuna wale wenzangu unakutana na wa hivi ukishalewa sasa!!Ukishalewaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 865287
Mimi wahudumu wananielewa ole wako nigundue, haunihudumii tenaMaana vyombo vikishatupanda wanachomekea
Ova
Samaki samaki kweli[emoji23]B bar sinza Mori ,samaki samaki ya mcity,miti mitatu kimara korogwe, kisuma Na zamani kabla haijafa catalunya
Nlichomekawaga na mhudumu mmoja 4ways Kinondoni kuna siku nlirudi ple nkanywa bia kma 7 nkazuga nakwenda toilet ilikuwa kimoja nlimwachia msalaMimi wahudumu wananielewa ole wako nigundue, haunihudumii tena
Wazushi sana Na Mara nyingi hutokea kuanzia saa tatu hiviSamaki samaki kweli[emoji23]
Wale wanafikiria wanywaji wote wanaokwenda hapo ni mashuaa
B bar napo kwa kuchomekea hawajambo
Ova
Mida hyo wanajuaa watu vitu vishaanza kupanda kichwa niWazushi sana Na Mara nyingi hutokea kuanzia saa tatu hivi
Ha ha ha...dawa yao ni hiyo hiyo .Ubaya Ubaya[emoji23]Nlichomekawaga na mhudumu mmoja 4ways Kinondoni kuna siku nlirudi ple nkanywa bia kma 7 nkazuga nakwenda toilet ilikuwa kimoja nlimwachia msala
Ova
Hiyo ndo dawa yaoMida hyo wanajuaa watu vitu vishaanza kupanda kichwa ni
Ndomana mm napenda kukaa kauntaa tu
Ova
Mara nyingi pale nakuaga mchana , usiku nahamia GovernorWazushi sana Na Mara nyingi hutokea kuanzia saa tatu hivi