Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

ha ha ha ha na kuimbishwa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe....
Walevi walivyowabishi lzma mmja aumizwe [emoji23] [emoji23]
Bar zinazojaza haifai huwa tunaenda kwa machale so fun walifungaga mtaa ajabu kituo cha polisi dk 5 kutoka hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Walevi walivyowabishi lzma mmja aumizwe [emoji23] [emoji23]
Bar zinazojaza haifai huwa tunaenda kwa machale so fun walifungaga mtaa ajabu kituo cha polisi dk 5 kutoka hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
ha ha ha ha ha itabidi ulinzi uimarishwe
 
Hahahaha, hapana mie MTU mzima asee ,hayo mambo ya vijana ,na uzee huu nikuanzishie thread kweli?

Thread tu za kawaida si anzishe iwe yako?

Kuwa na Aman
Sasa mambo ya kuanzishiana thread na hii sura ya baba angu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…