Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Katibu unatisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wahudumu wa baa huwabandui kweli
Nlikutana na kisa kimoja nlikiona ilikuwa balaaaa ilikuwa uhuru peak pale kitambo kdg kulikuwa na mzee mmja alikuwa kigogo go kwenye govemnto....kigogo hyo alikuwa anamgonga mhudumu mmja ple Dah siku ya siku wife alibuka day moja watu tupo pale tunavesha tukaskia njugu mhudumu ikamkosa mhudumu sisi wote tulitoka ndukiii
Ila kigogo hyo kastaafu siku hzi kijiwe chake kilikuwa bonga bar (Jina lke passwrd[emoji23] [emoji23] [emoji23] )

Ova
 
Huyo atakuwa mwandishi flani[emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…