Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Juzi kati nilikuwa bwax nikashangaa niko nje ya pub mabaunsa wananipiga biti nikalale..... yan cjui hata nilifanya nini.... yan unakuwa mbishi halafu hujui hata unachobishia ni nini.... pombe bhana.

Kwa kweli wacha waruhusu tuanze kunywa tangu asubuhi maana kwakweli sisi ndiyo tunachangia pato la taifa......
Mupe Muruke
Hongera wewe unayeenda mbinguni kwa kujihukumu , subiri anayehukumu naye atakapotoa hukumu
Mkuu nimereply kwa makosa , nikajua huyo jamaa anaenda mbinguni fikra zake akasahau kuna mkuu.Samahani
Wakuu naomba nipumzike maana nachanganya madesa mpaka humu, mixture ya leo lazima niirudie wkend.Alamsiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haipendezi kwa kweli.
.
IMG-20180914-WA0005.jpg
 
Wajenga nchi poleni na uchovu... Natambua wazi wengi bado mmelala kutokana na uchovu wa jana katika kuhakikisha kibubu cha taifa kinazidi kutuna... Hakika atakayewabeza ninyi haendi peponi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom