Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #761
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Nashtuka kidogo View attachment 865505
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Nashtuka kidogo View attachment 865505
Juzi kati nilikuwa bwax nikashangaa niko nje ya pub mabaunsa wananipiga biti nikalale..... yan cjui hata nilifanya nini.... yan unakuwa mbishi halafu hujui hata unachobishia ni nini.... pombe bhana.
Kwa kweli wacha waruhusu tuanze kunywa tangu asubuhi maana kwakweli sisi ndiyo tunachangia pato la taifa......
Mupe Muruke
Hongera wewe unayeenda mbinguni kwa kujihukumu , subiri anayehukumu naye atakapotoa hukumu
Mkuu nimereply kwa makosa , nikajua huyo jamaa anaenda mbinguni fikra zake akasahau kuna mkuu.Samahani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu naomba nipumzike maana nachanganya madesa mpaka humu, mixture ya leo lazima niirudie wkend.Alamsiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haha sipati picha siku akiwa Rais mlokole! bia hazitatengenezwa tutakosa kodi na tutalimia meno
Asante Sana Mkuu na wewe poleWajenga nchi poleni na uchovu... Natambua wazi wengi bado mmelala kutokana na uchovu wa jana katika kuhakikisha kibubu cha taifa kinazidi kutuna... Hakika atakayewabeza ninyi haendi peponi [emoji23][emoji23][emoji23]
Win win situation[emoji23] [emoji23]
Hapo ktk Serengeti lite tuko pamoja, kifupi mm Serengeti nazipenda sanaBia tamu haswa serengeti lite,au whisky ongeza na wine no chaguo lako tu
Hapo ktk Serengeti lite tuko pamoja, kifupi mm Serengeti nazipenda sana
Pombe Kali ni konyagi tu,tena kavu
Naam ,naielewa sana ile bia,ingawa baadhi huwa wanaisema sanaSerengeti ukinywa unaamka vizurii kabisaa
Wanaisemaje?Naam ,naielewa sana ile bia,ingawa baadhi huwa wanaisema sana
Wanasemaga ina harufu,sio lite lkn ile Serengeti lagerWanaisemaje?
Hahaha, nyagi tamu,kinywaji bora halisi na laini toka mbozi road chang'ombe [emoji1] [emoji1] [emoji1]Aliyegundua nyagi ataenda mbinguni (kama hajafika bado)
Spirit of NationalHahaha, nyagi tamu,kinywaji bora halisi na laini toka mbozi road chang'ombe [emoji1] [emoji1] [emoji1]