Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mupe Muruke
Hongera wewe unayeenda mbinguni kwa kujihukumu , subiri anayehukumu naye atakapotoa hukumu
Mkuu nimereply kwa makosa , nikajua huyo jamaa anaenda mbinguni fikra zake akasahau kuna mkuu.Samahani
Wakuu naomba nipumzike maana nachanganya madesa mpaka humu, mixture ya leo lazima niirudie wkend.Alamsiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wajenga nchi poleni na uchovu... Natambua wazi wengi bado mmelala kutokana na uchovu wa jana katika kuhakikisha kibubu cha taifa kinazidi kutuna... Hakika atakayewabeza ninyi haendi peponi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…