Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahaha,janja janja sana hawa ,ila ukiwajulia hawana shida ,mwanzo milipata tabu sanaHko ishakuja sana na nawamudu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wezi balaaa urembo wao wanaweza kuhamisha his ia so ukiwa nao nikujiongeza
Ova
Hatare sana lazima uwe na plan bHahaha,janja janja sana hawa ,ila ukiwajulia hawana shida ,mwanzo milipata tabu sana
Sio plan B ,yaani uwe mbele zaidi yake ,kwa kila kitu si mrwandese ,wala mkongoo ,Hawa jamaa wako fasta ,mie kila kitungi kikikolea fasta nachomoka eneo husikaHatare sana lazima uwe na plan b
[emoji23] [emoji23]
Ova
Nishawahi kuwachiaaa bill kuna sehemu moja Tamu sana Inaitwa pilipiliSio plan B ,yaani uwe mbele zaidi yake ,kwa kila kitu si mrwandese ,wala mkongoo ,Hawa jamaa wako fasta ,mie kila kitungi kikikolea fasta nachomoka eneo husika
Uzuri mtz unaheshimika hz nchi ,pamoja na mambo yao lkn bado wanakuheshimuNishawahi kuwachiaaa bill kuna sehemu moja Tamu sana Inaitwa pilipili
Walikuja wakataka kutuchuna ah tukainuka kwa gea ya kwenda ku top up muda wa maongezi ndy ikawa kimoja
Kesho yake walienda pale wakambiwa wale jamaa wajanja Janja watz
Ova
Kweli ila vikesi vdgvdg vilikuwa vngi[emoji23] [emoji23] [emoji23] lkn kwenye kuweka na Sawa tuUzuri mtz unaheshimika hz nchi ,pamoja na mambo yao lkn bado wanakuheshimu
Mimi nishapigana sana tu pale K club, na vile Kigali usiku kuna wajeda nisharudishwa kwangu Mara kibao tuKweli ila vikesi vdgvdg vilikuwa vngi[emoji23] [emoji23] [emoji23] lkn kwenye kuweka na Sawa tu
Ova
Hiyo ndio maana ya kuwa super power kwa eneo la maziwa makuuMimi nishapigana sana tu pale K club, na vile Kigali usiku kuna wajeda nisharudishwa kwangu Mara kibao tu
Huku kwenyewe juzi mechi ya mazembe na timu ya msuva ,nilikinukisha
Naam,maziwa makuu Tanzania tuko vzr mno ,tena mnoHiyo ndio maana ya kuwa super power kwa eneo la maziwa makuu
Kuanzia Zaire kwa Kabila mpaka Uganda kwa Museveni wanajua fitna ya Tanzania , huko kwa Nkuruzinza ndio usisemeNaam,maziwa makuu Tanzania tuko vzr mno ,tena mno
Ewaa, yaani kuanzia ,mipango,mikakati na kila kitu ,Tanzania iko vzrKuanzia Zaire kwa Kabila mpaka Uganda kwa Museveni wanajua fitna ya Tanzania , huko kwa Nkuruzinza ndio usiseme
Angalia nchi Kama Burundi kuanzia upinzani mpaka waliopo serikalini walishawahi kuishi TanzaniaEwaa, yaani kuanzia ,mipango,mikakati na kila kitu ,Tanzania iko vzr
Mimi nawaza kufika nyumbni , sitaki kufika kituo Cha polisi nikawape faidaKUNA WENGINE WKINYWA POMBE WANAKUWA WATATA VURUGU MTINDO MMOJA!
MIMI NIKIWA TUNGI NAKUWAGA MDOGO KITU NACHOFIKRIAA NI KITANDANI TU?
VP WEE UKIWA TUNGI UNAKUWA JE FUNGUKA TU HUMU USIOGOPE?
Ova
Sawa sawa,hata RDC ,wamechezeshwa cheusi chekundu ktk siasa ,na JK Jr hadi rahaAngalia nchi Kama Burundi kuanzia upinzani mpaka waliopo serikalini walishawahi kuishi Tanzania