Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hko ishakuja sana na nawamudu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wezi balaaa urembo wao wanaweza kuhamisha his ia so ukiwa nao nikujiongeza

Ova
Hahaha,janja janja sana hawa ,ila ukiwajulia hawana shida ,mwanzo milipata tabu sana
 
Sio plan B ,yaani uwe mbele zaidi yake ,kwa kila kitu si mrwandese ,wala mkongoo ,Hawa jamaa wako fasta ,mie kila kitungi kikikolea fasta nachomoka eneo husika
Nishawahi kuwachiaaa bill kuna sehemu moja Tamu sana Inaitwa pilipili
Walikuja wakataka kutuchuna ah tukainuka kwa gea ya kwenda ku top up muda wa maongezi ndy ikawa kimoja
Kesho yake walienda pale wakambiwa wale jamaa wajanja Janja watz

Ova
 
Nishawahi kuwachiaaa bill kuna sehemu moja Tamu sana Inaitwa pilipili
Walikuja wakataka kutuchuna ah tukainuka kwa gea ya kwenda ku top up muda wa maongezi ndy ikawa kimoja
Kesho yake walienda pale wakambiwa wale jamaa wajanja Janja watz

Ova
Uzuri mtz unaheshimika hz nchi ,pamoja na mambo yao lkn bado wanakuheshimu
 
Back
Top Bottom