Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ungeenda kwenye Uzi ule wa wanywa soda na juice huku hawakuelewi..........
Lengo sio wanielewe,nawakumbusha tu. Kuna mmoja amenijibu vizuri sana,kwamba wana yajua yote niliyoyasema humo. Nikasema vizuri na ndio maana nimewakumbusha.
 
Afu kapo very soft kanamezeka ndo nacho kapendea
Vitu vyakuiga vibaya sana, nilikuta jamaa wanagonga nikaagiza kamoja keusi hivi nikaa na stori. Nikajikuta nina likizo ya siku halafu wakanikatia jina boza kisa kunywa maji tu. Hicho kijamaa nilikipiga ban ya maisha.
 
Vitu vyakuiga vibaya sana, nilikuta jamaa wanagonga nikaagiza kamoja keusi hivi nikaa na stori. Nikajikuta nina likizo ya siku halafu wakanikatia jina boza kisa kunywa maji tu. Hicho kijamaa nilikipiga ban ya maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…