Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87]
Hii mada yako inanisababishia matatizo nilikua sina mpango wa kunywa mida hii sasa nilikua nasafari kwenda kusalimia jamaa zangu matokeo yake miguu haitaki kuelekea mbele nilipokusudia, yenyewe inapindia kulia tu nimeangalia inapotaka kuelekea naona kuna nyumba ina utambulisho wa bar na nyama choma [emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…