Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahaha na wewe lini utaenda kambini kwenu Mindu street? Hivi ni Madaraka anayeenda au nani? Ulabu huko hauendi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]takuambia kule
 
Nimevamia kwa nguvu jiji la Mwanza, kuna kijiwe kinaitwa Bundesliga ndiyo nipo nachangia Kodi, baadae mkiona nimepost utumbo mnisamehe nitakuwa sio Mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…