Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hao hawajitambui.. Nimeanza kunywa mwaka 1985 wakati plisner laga ilikuwa inauzwa Tsh 30,sijawahi kupitia yote hayo...
Ukizingatia kanuni hizi tatu za pombe itakupa maendeleo heshima na marafiki
. Usijisahau wewe ni nani
. Uko wapi
. Unafanya nini
Asante mwenyekiti mzee baba umemjibu
vzuri mdau

Ova
 
Endlea kulifanyia utafiti wapo ambao wakinywa pombe hata kama kaficha pesa chini ya jiwe ataifata tu. Pia wanakuwa wabishi kuondoka bar. Inakuaje kwa hili Mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ni tabia zangu kabisaa... mashoga zangu huwa wananijia na gia ya kunitoa maana kaubahiri nacho nimejaliwa [emoji38], ila sasa nikifika eneo la tukio savana 2 tu nabadili uelekeo ofa ntatoa mimi tip ntatoa mimi yaan asubuhi majuto tupu mkuu!!
 
Nipe location [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hivi mwanamke kunywa pombe. Hujishtukii hata mkuu?
 
Namalizia niondoke kwenye mji wenu, kesho Mungu akipenda nitakua viwanja vya nymbani chuga. Mnitakie safari njema na sio safari bia.View attachment 869092
[emoji23][emoji23][emoji23]mdau safiri salama wewe sasa cheo chako ni PR, mrangi karibu
Nafasi zifuatazo bado ziko wazi
. HR
. Finance
. Lawyer nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…