Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumzi ipo [emoji23]Hahahahaha kasichana na bombadier jumatatu
Nipo kwenye kiduka cha Mangi hapa namalizia raundi ya mwisho nikapumzikeWazee wa gambeee mbona kimya!
Ova
Hata mm namalizia kasichana hapa nkalale ila naweza kwenda sukutua bia moja nje [emoji23]Nipo kwenye kiduka cha Mangi hapa namalizia raundi ya mwisho nikapumzike
Ila mkuu una stamina ,hiyo juisi ya miwa si mchezoHata mm namalizia kasichana hapa nkalale ila naweza kwenda sukutua bia moja nje [emoji23]
Ova
View attachment 869307
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila mkuu una stamina ,hiyo juisi ya miwa si mchezo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila mkuu una stamina ,hiyo juisi ya miwa si mchezo
CEO wa Distillers Limited akiona hivyo , lazma upewe ubalozi mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]CEO wa Distillers Limited akiona hivyo , lazma upewe ubalozi mkuu
Hawa wachina au wajapana au ndio ya usambaani[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chukua kitu hiyoView attachment 869400