Mungu anawaona!Ukisikia u-snitch first class ndio huu yaani TBL wanatuuzia bia afu wanaenda kuwapa polisi vipima pombe ili iweje sasa jamani? [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ni kunywea home tu!Hili tatizo sio kwako tu. Hata mm huwa nakua mkarimu sana nikisha pata kuanzia beer 4.
Home ili tugombane na watoto?.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ni kunywea home tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ni kunywea home tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa balaa ni pale inatokea umetembea na ATM kadi mfukoni, unaweza kwenda kupigana na watu wa benki siku inayofuata.. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi mkuu u can't be saved pambana tu na hali yako.Home ili tugombane na watoto?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamateukiona nyuzi kama hizo ni kwamba wameshindwa kuandika kuuliza: jamani mnapatapataje hizo hela za kugongea ulabu....?[emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ukianza kwenda bar, hakikisha unamkabidhi mkeo ATM kadi na simu zako zote halafu mwambie aende kusalimia popote ila asikwambie anapoenda,
Muhimu asiwe anajua namba za siri za ATM kadi vinginevyo mtakutana viwanja na yeye kakusanya vijeba anazungusha raundi [emoji851][emoji851][emoji851]
Kuhisi kituNaamini ni kuhisi sio kuona[emoji848][emoji848][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You have rich------------[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamate
Wanasahau sentensi zao wanahama na majumbani kwa muda, ukiwauliza wanasema mliwanukuu vibaya [emoji851][emoji851][emoji851]...!!! Dahh..!! Anyway ndo tumepumzika chalinze tunastua kutoa uchovu kumi na mbili tunaliamsha....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamate
Kwa hiyo wametoka kujisaidia hata kupandisha sarawili issue, halafu ndo binti anakuletea huyo kukutambulisha kuwa ni mkweo mtazamiwa...!! Kwa uwezo ulionao wa Msata kilingeni utamfanyaje.. [emoji125][emoji125][emoji125]Swaga za wanywa soda na shurubati [emoji119][emoji119][emoji119][emoji115][emoji115][emoji38][emoji38][emoji38]no offense...!!!! View attachment 870001
Dah naanza kuchangiaa kodiNaamini ni kuhisi sio kuona[emoji848][emoji848][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]