Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Sasa balaa ni pale inatokea umetembea na ATM kadi mfukoni, unaweza kwenda kupigana na watu wa benki siku inayofuata.. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ukiona nyuzi kama hizo ni kwamba wameshindwa kuandika kuuliza: jamani mnapatapataje hizo hela za kugongea ulabu....?[emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamate
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamate
You have rich------------
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wivu wao tuu... Wengine wanaongea sana kwakuwa wako bankilamt subiri wazikamate
Wanasahau sentensi zao wanahama na majumbani kwa muda, ukiwauliza wanasema mliwanukuu vibaya [emoji851][emoji851][emoji851]...!!! Dahh..!! Anyway ndo tumepumzika chalinze tunastua kutoa uchovu kumi na mbili tunaliamsha....
 
Swaga za wanywa soda na shurubati [emoji119][emoji119][emoji119][emoji115][emoji115][emoji38][emoji38][emoji38]no offense...!!!! View attachment 870001
Kwa hiyo wametoka kujisaidia hata kupandisha sarawili issue, halafu ndo binti anakuletea huyo kukutambulisha kuwa ni mkweo mtazamiwa...!! Kwa uwezo ulionao wa Msata kilingeni utamfanyaje.. [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…