Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

mimi nikiwa na pochi nene naanzaga na JD,pochi likianza kusinyaa nashuka kwa yohana mtembezi(lebo nyekundu,nyeusi nitaiwezea wapi),mambo yanapoendelea kukaza nashuka kwa vladimir vodka...hali ikiwa tata katika levo ya mwisho nadondoka na ngumu kumesa(bapa)
sinywagi bia,..you know why?naweza kunywa hata 20.,sababu nyingine bia inajaza mipovu tumboni
shout it out to whoever muasisi wa utengenezaji pombe(iwe ya kienyeji au ya kigeni)
cheers
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tapatalk_1536713750008.jpeg
 
2015 Baada ya Kumaliza Kidato cha Sita, tokeo lilipotoka nilifurahi sana, nikasema ngoja leo nipige vitu.. Nilipiga Maji kinoma, kiroba, safari, k-vat, konyagi zote nilichanganya.. Bahati mbaya saana ilinyesha Bonge la Mvua.. walionibeba waliniambia walitembea kama hatua 100 hivi hawanioni.. kuja kunitafuta wanakuta Naelea juu ya Maji huko.. Pombe sio Chai..
[emoji102][emoji102][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji114][emoji114][emoji114]
 
Pilsner King, ni balaa, juz ijumaa tulikuwa Maeneo ya Goba, tuko washkaj wanne, mara Mmoja akasema Wife anakuja anataka ale hapa, baada ya Muda akaja, sasa yule jamaa aliekuwa anakunywa Pilsner akawa ameshakunywa 3,.so akaagiza na konyag ndogo,.dah, sasa mshkaj aliyekuja na mke wake akaenda alipe bill ya chakula ili amrudishe wife Home,.sasa huku nyuma jamaa wa Pilsner konyag akamwambia mke wa jamaa kuwa Mume wako ni mtu wa totoz sana, anapenda hata wahudumu wa bar,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatar sana... ile kitu sio ya kuchezea
[emoji102][emoji102][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji30][emoji114]
 
Hii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
[emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji112][emoji112][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom