Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua nyagi,kisha soma maandishi ya nyuma yaleWeka maneno Mkuu
Swadakta,sasa angalia paragraph ya mwisho , copywriter alivyoweka mbwembwe ...'kinywaji laini na cha kipekee '....
Mimi katika pombe kali nakunywa nyagi tuSwadakta,sasa angalia paragraph ya mwisho , copywriter alivyoweka mbwembwe ...'kinywaji laini na cha kipekee '....
Hata Mimi pombe Kali ni nyagi,na sichanganyi na chochoteMimi katika pombe kali nakunywa nyagi tu
Katika beer ni safari....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Hii kitu alikunyangwa jamaa a yangu akaenda polisi post mwinjuma anataka huduma ya tigo pesa Dah walimweka selo [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma NaskiaBaharia mzoefu..hii kitu sinaga ubishi nayo [emoji1] View attachment 866122
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23]🤔🤔sipati pichaHii kitu alikunyangwa jamaa a yangu akaenda polisi post mwinjuma anataka huduma ya tigo pesa Dah walimweka selo [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma Naskia
Ova
Tukiitaje[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh Mkuu unatembea nazo nini,Jibapaaa
Hahahahaha kinalainisha mwiliSwadakta,sasa angalia paragraph ya mwisho , copywriter alivyoweka mbwembwe ...'kinywaji laini na cha kipekee '....
Itakua vzr,nyagi na nyama nyingiii
Hiyo naipigia saluteBaharia mzoefu..hii kitu sinaga ubishi nayo [emoji1] View attachment 866122