Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Karibu sana,huku nilipo bia zinaitwa Primus,N'tay ,King Turbo, Mutzing ,Tembo ,SimbaUko wapi kama unapiga vyombo Safi tu usijali tutakuja jumuika hko one day
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana,huku nilipo bia zinaitwa Primus,N'tay ,King Turbo, Mutzing ,Tembo ,SimbaUko wapi kama unapiga vyombo Safi tu usijali tutakuja jumuika hko one day
Ova
Niliziona Burundi na ugnda na Rwanda ila sijawahi zinywaKaribu sana,huku nilipo bia zinaitwa Primus,N'tay ,King Turbo, Mutzing ,Tembo ,Simba
Hahaha, Ndiko zinakopatikanaNiliziona Burundi na ugnda na Rwanda ila sijawahi zinywa
Ova
Karibu Mkuu ,tuzigonge na Waragi pia ipo , waragi km konyagiHko ndko nazionaga sana
Ova
Kama uko kwa m7 kuna kijiwe kimoja kitamu sana hapo kisementiKaribu sana,huku nilipo bia zinaitwa Primus,N'tay ,King Turbo, Mutzing ,Tembo ,Simba
Konyagi hawaniangushagi nlionaga mpaka Zambia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu Mkuu ,tuzigonge na Waragi pia ipo , waragi km konyagi
Hapana siko kwa M7 ,nacheza mitaa ya JK Jr na PK ,konyagi dumeKama uko kwa m7 kuna kijiwe kimoja kitamu sana hapo kisementi
Ova
Republica na k pub bado zipo Dah hapo kwa pkHapana siko kwa M7 ,nacheza mitaa ya JK Jr na PK ,konyagi dume
Hahaha K club au K pub? ,now kuna viwanja kibao vya hatari,totoz za hatariRepublica na k pub bado zipo Dah hapo kwa pk
Ova
K club [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha K club au K pub? ,now kuna viwanja kibao vya hatari,totoz za hatari
Huwa nikiwa huku Iwe Kigali au Katanga, asee naruka sana ,Fanya sana vurugu, Nikirudi dar nakuaa mtiifu mno , siku ukuje tufanye vurugu na Totoz za hukuRepublica na k pub bado zipo Dah hapo kwa pk
Ova
Hko ishakuja sana na nawamudu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huwa nikiwa huku Iwe Kigali au Katanga, asee naruka sana ,Fanya sana vurugu, Nikirudi dar nakuaa mtiifu mno , siku ukuje tufanye vurugu na Totoz za huku
Wewe hapoNani mnywa maji? [emoji848][emoji848][emoji848]
SawaMtoni mtongani
Hahaha, K club si Mchezo ,dah kitungi kitamu ukikila mbali na hmK club [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nlikaa Kigali siku 8 sisi akili yetu ilikuwa tungi tu kila wakiji sogeza hatuna habari sisi ni kulewa.....walikuja twambia sisi wabahiri[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ova
Natania mwayaNipe code badaye nataka badili Gia an gani
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatutaki wanywa Maji..