Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakisikii kabisa, nlikua nayo hiyo bila mixer ntamaliza cret, sasa siku moja nlikua babati s nkakutana na eagle! Nkawa napiga mixer eagle, k vant nkaja kumix na nyagi. Weeee siji isahau hile siku asubuhi niliokoka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuuu kaa mbali na madude haya yenye picha ya ndege.....
Hahahahhaa wamuonaje eagle ndege? Hatariii
Ila Serengeti lite Ni baridi mno na soft for begginer
Rudi upande huo
 
Alafu tabia mbaya jana nimelewa ukashindwa kuninyanga'nya simu mpaka naandika upupu mxeew kabisa wewe
Ukilewa ni faida kwangu, japo nilifeli[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji848][emoji848][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Mzee baba naingi home naona leo mitkasi imedunda acha nije dunge [emoji23] [emoji23]

Ova

20180917_140111.jpg
 
juma 2 ili iliyo pita nilifanya kituko kiasi.kwamba paka.sass nimesimama.mwenyewe bira kulazimisha nitafakali.kwanza lire janga la.karne
 
Back
Top Bottom