mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ngj nikalambe bia 2 [emoji23]hahahaha nilijua kamsichana kameshadedishwa............mida imefika ngoja nikafurahie maisha
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngj nikalambe bia 2 [emoji23]hahahaha nilijua kamsichana kameshadedishwa............mida imefika ngoja nikafurahie maisha
Sijagusa tangu asubuhi jana tank ilizidishwa ujazo [emoji23] [emoji23]
Ova
Leo unataka kupumzka sio mkuu?
Ngj nikalambe bia 2 [emoji23]
Ova
Safiii,Ndy nasogea
Mdg mdg
Ova
Hahahahaha namkubali Sana msela,huyo jamaa kupumzika ni ngumu ngoja kidogo jua lizame atakwenda kushtua
Nshaingia kwa Fernandez KinoSafiii,
Sukutua na bia mbili kwanza then unapiga nyagi kwenda mbele
Fujo zinaanza[emoji23]Safiii,
Sukutua na bia mbili kwanza then unapiga nyagi kwenda mbele
Safi hapo ndo Mambo yenyewe sasa yanaanza
Hki kibar Kong we kinampaka viti vya chuma bado na Meza za kizamani yaani bar classicSafi hapo ndo Mambo yenyewe sasa yanaanza
We unazinguaga inawezekana umeshaanza tayariDuh network search mpk sasa
Ova
Ndy naanza leo sipigi nyingi nmekunywa Lita nyingi sana za pombeWe unazinguaga inawezekana umeshaanza tayari
Kapiga 5 daah. Nikinywa hizo naweza kuwekewa dripHahahahaha namkubali Sana msela,
Watu tunauwezo wa kupiga hata crate nzima ila konyagi kubwa mbili hoi ila yy Jana kanitolea km tano hv
huyo aliyevua viatu vya kike na kikoi imekuwaje? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji39]Hki kibar Kong we kinampaka viti vya chuma bado na Meza za kizamani yaani bar classic
[emoji23]
Ova
View attachment 873430
Hahahahah watu mna jicho khaahuyo aliyevua viatu vya kike na kikoi imekuwaje? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyo aliyevua viatu vya kike na kikoi imekuwaje? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji39]
Dohhh [emoji23] [emoji23] [emoji23]Weekend yangu imeharibika kabisa niko kwa mganga amesema eti nina yutiyai hivyo natakiwa kuanza kumeza mizizi maramoja kabla haijapanda kichwani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]