Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay naondoka kwa mangi naelekea baaNdy naanza leo sipigi nyingi nmekunywa Lita nyingi sana za pombe
Ova
Weekend yangu imeharibika kabisa niko kwa mganga amesema eti nina yutiyai hivyo natakiwa kuanza kumeza mizizi maramoja kabla haijapanda kichwani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mshulikie haraka sanaJamaa muongo sana ndugu katibu wee muache tu tamroga[emoji34][emoji34][emoji34][emoji35][emoji35]
Kuna uwezekano mkubwa mzee baba hii picha hakutarajia itoke hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana ni mchz wangu SemaYule mwenye viatu!! [emoji23][emoji23][emoji23]pengine kachoka
Muhimize au mshahara umekata anazuga?. Maana siku hizi kwenda baa niujasiri wa hai ya juu.
KweliMuhimize au mshahara umekata anazuga?. Maana siku hizi kwenda baa niujasiri wa hai ya juu.
Usisahau kitoa pole kwa ndugu zetu, ningekua nina uhakika rambirambi zitafika ningemwomba mshana aanzinshe uzi maalumu wa michango.
Tumia formula ya kulipa kila akileta chupa yanini kuzozana wakati umeshaweka vitu vyako kwa kichwaMzee Fernandez hapa anatuhudumia mwenyewe anasema kwenye bill sisi tunkuwaga watata anajua tukichomekewaga
Nn kinatokea[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 873485
Ndy zanguTumia formula ya kulipa kila akileta chupa yanini kuzozana wakati umeshaweka vitu vyako kwa kichwa
Aisee labda atokee mdau mwenye msiba unaomgusa moja kwa moja lakini hivi hivi hazichelewi kuelekezwa kwenye ujenzi wa kiwanja mlimani[emoji40][emoji40][emoji40]Muhimize au mshahara umekata anazuga?. Maana siku hizi kwenda baa niujasiri wa hai ya juu.
Usisahau kitoa pole kwa ndugu zetu, ningekua nina uhakika rambirambi zitafika ningemwomba mshana aanzinshe uzi maalumu wa michango.
Sipo kaka mi nimeingia huko kwa bahati mbaya.Aisee labda atokee mdau mwenye msiba unaomgusa moja kwa moja lakini hivi hivi hazichelewi kuelekezwa kwenye ujenzi wa kiwanja mlimani[emoji40][emoji40][emoji40]