Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Hahahahaha na tarehe zinasoma vyema hebu walipe kodiWanachama mbona leo....
Kimyaa au nyongo imekata leo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha na tarehe zinasoma vyema hebu walipe kodiWanachama mbona leo....
Kimyaa au nyongo imekata leo
Ova
Hii ngoma inawekwaga kwenye bajeti ya chakula kabisa haitaji mwisho wa mweziHahahahaha na tarehe zinasoma vyema hebu walipe kodi
Upo vizuriHii ngoma inawekwaga kwenye bajeti ya chakula kabisa haitaji mwisho wa mwezi
Nimekumiss Rafiki, yaani nilikua ni mentioned ,kitufe cha kutuma kiwahi,mamboTupo
Nimekumiss Rafiki, yaani nilikua ni mentioned ,kitufe cha kutuma kiwahi,mambo
Hahaha, mm bado natumika ila soon naingia kaunta kukata KIUHahahahah hata mie nimekumiss na kaunta nayo ilinimiss
Rafiki wakuongeze zingine mbili
Afadhali rafiki hebu tuma kabisa nikamatie cash niwe na jeuri kauntaRafiki wakuongeze zingine mbili
Piga kazi kaunta ni matunda ya hiyo kaziHahaha, mm bado natumika ila soon naingia kaunta kukata KIU
Naam RafikiPiga kazi kaunta ni matunda ya hiyo kazi
Nakutumia namba yako si ni ile ile RafikiAfadhali rafiki hebu tuma kabisa nikamatie cash niwe na jeuri kaunta
Hahahahaha do ze needfulNakutumia namba yako si ni ile ile Rafiki
Dakika 15 ,tu salio lako litakua limeongezekaHahahahaha do ze needful
Afadhali aisee nyie mnatakiwa kuwepo kwenye ulimwengu huuDakika 15 ,tu salio lako litakua limeongezeka
Hahaha, Rafiki usiseme hivyoAfadhali aisee nyie mnatakiwa kuwepo kwenye ulimwengu huu
Umekuwa kimya bana hadi nikahisi kiwanda leo kimefungwaLeo bia nko kwa mangi mm Nna hela sina hela lazima nilewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 884852
Niseme nini baada ya muamala kuelewekaHahaha, Rafiki usiseme hivyo