Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Uko vizuri. Mi nataka nianze kupika dogo akilala ndo nifanye mpango wa kunywa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko vizuri. Mi nataka nianze kupika dogo akilala ndo nifanye mpango wa kunywa sasa.
Natoa lock alafu naenda kwenye kapilika kidogoUko vizuri. Mi nataka nianze kupika dogo akilala ndo nifanye mpango wa kunywa sasa.
Dada kaondoka miguu imetiwa lock hapa. Ntaenda wapi Na huyu kijana wangu sasa.Kisa?
Nlikua natumia vitu vizito vizito kina k vant na wenzie, nikahamia kwenye zanzi mara viroba vikazuiliwa, nikanywa kanywa wine naona inanivuruga tu, nmehamia rasmi kwenye Heineken
Dada kaondoka miguu imetiwa lock hapa. Ntaenda wapi Na huyu kijana wangu sasa.
Natafuta bado ila wanazingua hatariinaboaga..tafuta fast aisee!pole
Vodka nayo Ina hiyo
tabia. Unaweza ukasahau hata Jana yake ulikua umekaa Na kina nani
Natafuta bado ila wanazingua hatari
Nilikuwa mdau mkuu[emoji23][emoji23]Hahahahaha mkuu wangu umelenga mule mule inaonesha na ww mdau eeeh
unakula vizuri lakini?
Ila k vant ina mambo unaweza maliza kuinywa ukaanza kulia bila sababuhahahahahaha...kitu cha k vant..i cant u!
Daah!wengine hiyo kitu hata haina ladha ya pombe ni kama juice tu!!heri yako mkuu....nliinywaga nikaumwa kichwa!Nmechelewa sana kujua kama Heineken ni tamu kiasi hiki
Hhaha kaunta hupigwi si unaona sahv nmewahi kaunta nafanya yangu!Ila Mrangi umenipa somo.
Habari ya kaunta, kaunta hakuna rongorongo
Karibuni Dodoma Kibo bar
Duh huko Nna usongo nako longtime sijatimba....ila chako ni chako enzi zake nishapiga sana masangaKaribuni Dodoma Kibo barView attachment 888531
Chako siku hizi hamna kitu. Wahamiaji wamesababisha Dom kuwe na viwanja vipya vizuri sana. Hapa kuna upepo mzuri sana.Duh huko Nna usongo nako longtime sijatimba....ila chako ni chako enzi zake nishapiga sana masanga
Alafu chimbo hilo linaonekana limetulia
Ova
Panaonekana aisee kuna amsha amsha lkn si unajua sisi wanywaji tuna penda kufanyiwa zile vurugu na wahudumu[emoji23] [emoji23]Chako siku hizi hamna kitu. Wahamiaji wamesababisha Dom kuwe na viwanja vipya vizuri sana. Hapa kuna upepo mzuri sana.