Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ila Mrangi umenipa somo.
Habari ya kaunta, kaunta hakuna rongorongo
Hhaha kaunta hupigwi si unaona sahv nmewahi kaunta nafanya yangu!

Ova
20181006_151305.jpg
 
Duh huko Nna usongo nako longtime sijatimba....ila chako ni chako enzi zake nishapiga sana masanga
Alafu chimbo hilo linaonekana limetulia

Ova
Chako siku hizi hamna kitu. Wahamiaji wamesababisha Dom kuwe na viwanja vipya vizuri sana. Hapa kuna upepo mzuri sana.
 
Chako siku hizi hamna kitu. Wahamiaji wamesababisha Dom kuwe na viwanja vipya vizuri sana. Hapa kuna upepo mzuri sana.
Panaonekana aisee kuna amsha amsha lkn si unajua sisi wanywaji tuna penda kufanyiwa zile vurugu na wahudumu[emoji23] [emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom