Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Karibu bila shaka
Nko chimbo langu moja tumefungiwa ndani tunajidunga moja mbili [emoji23] [emoji23]

Ova
20181009_132516.jpg
20181009_133150.jpg
 
Nlizinguana naye wakati fulani akatuitia wale crown wenzake tukakimbia kijiwe tukahamia kwa apolito
Baada ya Muda akawaanatufatuta anaomba suluhu si unajuaa wanywaji tulivyokuwa na fitna [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakukudaka dhamana juu yangu
Ebwanaaa bill kidogo ileteshida hyu kaunta alitaka kutuchomekea ikabidi wanywaji tuingie kazini kumfanyie breakdwn
Maana si wengine tukiwa tungi ubongo unazidi kuchaji umakini inaongezeka

Ova
20181009_145901.jpg
20181009_145818.jpg
 
Back
Top Bottom